mtukwao
Tuesday, September 29, 2009
Ni shule ya secondary ya kagondo! wanafunzi wa kijiji changu cha kangantebe wanaofaulu shule ya msingi wanategemea kusoma hapa. Wazazi walishawahi kupigwa na mgambo eti wamekosa 20.000/= ya ada.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment