Miaka 17 iliyopita nilipokuwa naishi kijijini hapa, tulikuwa tunasali katika kanisa la miti na matope lilisokafiwa majani. Ingependeza kama wadau wengine waishio ughaibuni wangependelea nyumbani kwao kama Fr Deus. Tunao Madaktari, wahandisi, manesi, na kada nyingine nyingi tu walioko pembe zote za duniani. Wherever we go, home is the best!
Tuesday, September 29, 2009
kanisa katoliki kabarenge
Miaka 17 iliyopita nilipokuwa naishi kijijini hapa, tulikuwa tunasali katika kanisa la miti na matope lilisokafiwa majani. Ingependeza kama wadau wengine waishio ughaibuni wangependelea nyumbani kwao kama Fr Deus. Tunao Madaktari, wahandisi, manesi, na kada nyingine nyingi tu walioko pembe zote za duniani. Wherever we go, home is the best!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment