Monday, April 18, 2011

jamani mbona twalewa umasikini wakujitakia??

Watanzania twalewa; tuwaangalie wenzetu waganda walioamua kuandamana wakipinda kupanda kwa gharama za maisha. Sisi twakubali tu, bora liende!!!

Wanauchumi wanasema huku kupanda kwa bei ya vitu hakuletwi na nguvu ya soko; bali kuzimwa kwa soko, ( market distortion).Kinachotokea watu wanaiba pesa za umma na kuweka pesa nyingi za nchi mikononi mwa wa wachache; ni hao watu wachache wenye pesa zetu wanapandisha bei za bidhaa. Wanaweza kusomesha watoto shule, tena shule za binafsi hata bei iwe kubwa vipi!! wanaweza kujenga majumba ya kifahari hata pale wanapopewa gharama zisizokuwa asilia.

jamani tuandamane!!! nani ananiunga mkono?

2 comments: