Wednesday, December 30, 2009

MAAZIMIO YA 2010

NAWATAKIA MWAKA MPYA MWEMA TUNAPOFUNGA MWAKA HUU 2009 NA KUINGIA 2010. Naomba tujadili ili na mwisho wake tuwape ushauri vijana wanaoanza maisha. Je, kama maazimio ( resolution) ya mwaka unaokuja, 2010 lipi ni jambo la busara kwa kijana aliyemaliza shule, ( mfano chuo kikuu) na kuyaanza maisha; aanze kwa kununua gari, au anunue kiwanja? naomba tujadiliane.

Samahani, mjadala huu ni wa ushauri kwa vijana waliopo Afrika kusini mwa jangwa la Sahara.

Monday, December 28, 2009

DAR ES SALAAM SHWARI KIPINDI HIKI CHA XMAS

natamani dar es salaam iwe hivi hivi kipindi chote cha mwaka. Naishi Tegeta, takribani kilomita 30 kutoka katikati ya mji. Kwa kawaida huwa natumia lisaa limoja na nusu kwenda kazini asubuhi. Katika kipindi hiki cha sikukuhuu ya noeli kuanzia tarehe 26th december nimekuwa nikitumia dakika 40 kufika kazini. Nafanya kazi Bandarini, Dsm.

Kweli, wageni wameondoka kwenda shamba na kutuachia wenye mji.

Tuesday, December 15, 2009

Two Dumb persons

Q. How do men get exercise at the beach?

A. By sucking in their stomachs every time they see a bikini

Q. What's a man's idea of helping with the housework?

A. Lifting his legs so you can vacuum

Q. How do women define 50/50 relationship?

A. We cook/they eat; we clean/they dirty; we iron/they wrinkle.

Q. What is the difference between goverment bonds and men?

A. Goverment bonds mature

Q. How are men like noodles?

A. They are always in hot water, they lack taste, and they need daugh.

Q. What's the best way to force a man to do sit ups?

A. Put the remote control between his toes.

Source. Daily News ( Tanzanian daily)

HOW TO AVERT NEGATIVE CONFLICT AT THE OFFICE

THE EARLIER, THE BETTER: Address issues as early as possible, whether you are the employer or employee

Prevent conflict from happening

1) ‘’You can predict straight away what conflict areas are going to be, ‘’ Peter Samuel, an Industrial relations specialist at Nottingham University Business School, says. Budget squeezes and redundancies are a dangerous breeding ground for employee discontent. Communicating clearly; setting an open door policy, being consistent and developing teams’ interpersonal skills can help to prevent conflict from arising.

Acknowledge it

2) Ben Willmott, a senior public policy advisor at Chartered Institute of Personnel and Development, says that most managers are not prepared for conflict: There are usually clear signs from individual behaviour. Managers need to be ready to intervene.’’

Dr Samuel says that passive forms of conflict such as ABSENTEEISM OR LATENESS often point a deeper, hidden problem. ‘’Even joking can be a form of conflict.’’

Tackle issues early on

3) ‘’It is important to address issues as early as possible, whether you are the employer or employee, ‘’Jane Bird, of Acas, the conciliation service, says; ‘’Internal workplace conflict is kept very much underground- everyone knows it is going on, but organizationally is not talked about.’’

CIPD research found that resolving a grievance case takes an average of nine days, disciplinary case 13 and preparing for an employment tribunal 15 days.

Take the emotion out

4) As a traffic warden for Vinci park, a car park design and management company, Craig Adamson is used to dealing with irate customers who sometimes can become violent when presented with fines. In his experience, the worst thing to do when a blow-up occurs is to ask someone to calm down: ‘’they find it patronizing’’. Using open language, not talking with hands and speaking gentle, tone send out calming signals

‘’If people are frustrated or angry, then don’t try to resolve it while they are still emotional,’’ Bill Fox, the Chairman of Maybo, a conflict specialist, says.

People instinctively avoid uncomfortable conversations.

5) Ms Bird says. ‘’Talking can be cathartic- when people feel that someone is listening to them, they calm down.’’

Grievances or formal disciplinary procedures are an important stage, but are often overused by managers, who shy away from dealing with conflict, Mr Wilmott says. ‘’Speak to people individually to find the root of the issue, then bring people together. Retain your integrity-don’t take sides.’’

Look for the root causes

6) Conflict is the symptom, not the problem- the real cause is not always obvious. Conflict is often caused by breakdown in communication. Mr. Fox suggests asking ‘’why’’ five time- the number of questions usually needed before people can pinpoint the reason for something happening.

Move away from ‘win-lose’

7) ‘’People think of conflict as ‘’WIN LOSE’’, but there are many different outcomes- a compromise or a solution that meets everyone’s need.’’ Gareth English of OPP, a business psychology firm, says.

Avoid referring to entrenched positions. When you start sharing information, you often find that they are closer than they think.’’

Involve people in the solution

8) ‘’Managers do not have a monopoly on good ideas. People can often be encouraged to be quite creative in coming up with a solution and are more likely to ‘own’ it’’ Ms Bird says.

Mr. Willmott advises managers to take mediation training to develop their skills at brokering a deal.

MAKE PHYSICAL CHANGES

9) TO BREAK A DREADLOCK, PHYSICALLY MOVE PEOPLE OR CHANGE THEIR WORKING PATTERNS TO HELP TO RE-START SITUATION

10) Conflict is not always negative

Some of the greatest victories in employment history would not have been won without bitter conflict- equal pay legislation or maternity rights for example, Dr Samuel says.

‘’Just because conflict is uncomfortable doesn’t mean that it’s bad,’’ Mr. English says. ‘’If people agree all the time, then you get ‘group think,’ which leads to risky behaviour.’’


Source The EastAfrican

Sunday, December 13, 2009


please click in the middle to enlarge for easy reading.

When dar gets hotter, try Jangwani Sea breeze resort.

Is this the best use of our precious human resources?
Maktaba street, Dar.

MATUMIZI MABAYA YA NJIA ZA WAPITA KWA MIGUU

Hapa ni kijitonyama, Dar Es Salaam, barabara ya Ali Hassan Mwinyi, karibu na mgahawa maarufu wa break point.


Is this market regulated?

CATHOLIC CHURCH LAUNCHES A COMMERCIAL BANK


The building that was once accomodating catholic bookshop behind St.Joseph church in Dar Es Salaam is now a premise for Mkombozi Commercial Bank Ltd, wholly owned and managed by catholic church.

BANK OF TANZANIA; THEN


BANK OF TANZANIA; NOW


TANZANIAN 48TH INDEPENDENCE ANNIVERSARY

what is the difference?

We got independence 48 years ago. Poverty is increasing day by day, and the value of the shilling is going down and down.

Shilling exchange rate now stands at 1324/- against one US Dollar; when we got independence, a dollar exchange was Shs 7/- for 1$; now is this progressing or backwardness?

On 9th December, 1961, we're so hopeful and 10th December 2009, we are less hopeful, on 11th December 2010, we may completely lose hope if H.E Kikwete does not put agriculture first.

I am now a grand father but my grand father used to export cereals and cashewnuts to India in thousands of tonnes per year.

Our export were thousands of tonnes approximately 300,000 tonnes of cashewnuts and cereals ( ufuta, groundnuts, peagon peas and dengu) per year in 1960's in Southern Regions only, leave aside cotton, coffee, tea, tobacco, and maize, in other regions like Mwanza and Kilimanjaro.

I am very happy that H.E President has come up with the policy of Kilimo Kwanza.

mwalimu was very keen on agriculture and therefore he tried Ujamaa villages although his best policies were spoiled by pseudo implemontors. Now H.E Kikwete, the president of the United Republic of Tanzania is number ONE in agriculture and even Hon. Pinda and Hon. Wassira.

I will salute them if they put agriculture first priority.

M.R.J SABODO

The Retired Specialist in Hedge Funds, Equity Funds and International Commercial Debts.

Source. Daily News; A Tanzanian daily

Wednesday, December 9, 2009

DO THEY KNOW ITS TANZANIAN INDEPENDENCE DAY?

9/12/1961 Tanganyikans celebrated the independence from colonizers, old guards had reasons just to do that; 'mkoloni ondoka, mtanganyika atawale' liberation from whitemen.

Statistically the life expectancy of a child born in the year of Uhuru was 41 years, so the majority of the uhuru children are now dead. I've talked to a large group of Tanzanians who are all more than 50 years old and several are over 80. But, statistically, these people are not representative, for the average first-generation Tanzanian is dead.

The leaders of the uhuru generation are mostly gone. A second generation has taken over and a third generation is waiting on the sidelines. Tanzania is a second- generation nation but some of the first generation Tanzanians are still alive.

So, second-generation is on the driving seat, the likes of Hon. Laurent Masha ( Home Affair Minister), was born in 1969 and Emmanuel Nchimbi ( Deputy, Defence Minister), was born 1974. How are these leaders view foreigners?

On my opinion they see 'wazungu' not as exploiters but partners/friends, to put it in a more fashionable term, 'development partners'.

When these second-generation leaders with their fashionable suits convene at top most hotel, e.g Movenpick, are they really reprensenting Tanzanians? Are these leaders really know or have any idea that their grandfathers ( Mwalimu Nyerere and others) fought for independence?

There are more questions than answers.

Happy independence day.

Sunday, December 6, 2009



Its a mall with western flavour, this is where elite shop, dine, go to a movie, conduct financial transactions ( a number of banks are housed in this mall), etc etc etc

For us, 'walalahoi' this is a place to wonder about, spending considerable time moving around without spending a penny.

Mlimani City, its a wonder of Dar Es Salaam, partly owned by South africans, the mall has changed the way we shop to a greater length. Gone are days when dar es salaamites had no alternatives; the ujamaa days when sembe was bought by 'duka la kaya'. These days it is the thickness of the wallet that counts.

But I'm not impressed by 100% with this 'modern' way of shopping. The Mall is located on the area that was at one time reserved for University of Dar Es Salaam. Ironically, the University students are squatting and commute from distant location due to the absence of hostel accomodation. Students are residing as far as Mabibo and we should not expect academic excellence from our sisters and brothers.




CHRISMAS TREE!!! The History of the tree.



Yes, chrismas is around the corner, we are ready to decorate our houses with chrismas trees and santa claus, but do we really know the history of the tree?

Please visit,

http://www.christmas-tree.com/where.html

Friday, December 4, 2009

Dar Es Salaam gets hotter.

Dar Es Salaam is getting hotter; for my friends and relatives from diaspora with plans to visit dar, think about this before coming.

Dar temperature is 32c
London temperature is 7c
New York is 9c

Mates come with bikini/ kaptura and tell your uncle/parents/ brother/spouse/hotel reservations to make sure air conditioner is properly working. Otherwise stay away from Dar.

besides dar needs 'usafiri' bwana, do not rely on overcrowded daladala, you'wont enjoy a xmas season with this out of date commuting system, plse make sure you own a decent car with air conditioner.

A weird idea

A GUY goes over to his friend’s house, ring the bell, and the wife answers.

‘Hi, is Tony home?”
‘No, he went to the store.’

‘Well, you mind if I wait?

Yes, come in.’

They sit down and the friend says ‘‘you know Nora; you have the greatest breast I have ever seen. I’d give you a $100 if I could just see one’

Nora thinks about this for a second and figures what the hell. A $100, she opens her robe and shows one. He promptly thanks her and throws a $100 on the table.

They sit there a while longer and Chris says ‘They are beautiful I have got to see both of them. I will give you another $100 if I could just see both of them together.’ Nora thinks about this and thinks what the hell, opens her robe, and give Chris a nice long look. Chris thanks her, throws another $100 on the table, and then says he can’t wait any longer and leaves.

A while later Tony arrives home and his wife says, ‘you know, your weird friend Chris came over’.

Tony thinks about this for a second and says, ‘WELL DID HE DROP OFF THE $200 HE OWES ME?’

Source: Daily News ( A Tanzanian daily)

Tuesday, December 1, 2009

IS OUR LIFESTYLE SUSTAINABLE?

I am tempted to pose this question after reading with wide interest a story of an Irish-born economics graduate who lived for a year without spending any money.



Mark Boyle, 30, has lived for the past 12 months as a true 'free-economist' leading a self-sufficient lifestyle in a caravan in Timsbury, near Bath, England glowing his own food and reusing junk that people have thrown away.



Obviously Mark had gone to the extreme, but his lifestyle sheds light and should make us guilt of our own destruction. We've literally abandoned what nature had provided us for free and embrace human influences without realizing the mishaps.



In Africa, 500 years of western domination has had adverse effect not only to environment but also to our well-being. We have been pulling down trees in order to facilitate 'modern' housing, tilling land for damned cash crops not for our consumption and poaching valuable elephants for ivory . Interestingly all of the above depletion of natural resources satisfies our immediate needs, i.e gaining damned money; ignoring livelihood and survival of next generations.



Ironically there's no check and balance of our own actions. For many years human being has been uprooting trees without planting thus endangering the ecosystem. For example, Dar Es Salaam is the third fastest growing city in Africa after Bamako and Lagos. 40 years ago, the area stretching from sinza suburban to University Hill was a dense forest inhabiting indigenous trees that had environmental role of holding the soil in its place. In those forests, a not insignificant amount of water used to be retained on leaves, bark, and in the soil. Of course retained water used to evaporate and then feed other ecological system and thus maintained rainfall cycle. Money has greatly disturbed this environmentally friendly city that the whole area notably Sinza, Mwenge, Mlalakua, and University of Dar Es Salaam is full of residential houses, hotels, shopping mall ( Mlimani City), petrol stations, roads, and other 'modern' facilities. When it rains, much of the water rushes down the slope and is lost for good. We're not only using water but our own life too.

The World will be saved when we imitate, just a little bit of Boyle's lifestyle.

Sunday, November 29, 2009

unsang heroes in medical science

Nachopenda kuhusu waganga wa kienyeji ni kwamba wanatumia uoto wa asili kama vile wanasayansi wa magharibi wanavyotegemea mimea hiyo hiyo katika kutengeneza dawa. Tulichokosea sisi waafrika ni kwamba mara baada ya kuja kwa wageni miaka 500 iliyopita tulipumbazwa na kusahau ustaarabu wetu wa kuwa karibu na ardhi na mimea yetu. Leo hii waafrika tunategemea tafiti za kizungu katika kutatua matatizo ya kimatibabu. Ingekuwa vyema tungekubali kurudi enzi za zama na kuwafadhiri akina Dr. Manyuki na wao wapige hatua za kitibabu. Tukubali kuwa kuendelea kutegemea dawa za kigeni na muundo mzima wa kimatibabu wa kimagharibu kunatugharimu sana na hatutafika mbali kimaendeleo. Leo hii Tanzania inatumia 10% ya bajeti yake katika nyanja ya kitabibu lakini wagonjwa na magonjwa mengi yanaibuka hata yale yaliyokuwa hayapo miaka 100. Huko vijijini huduma za kitibabu ni nadra kupatikana na huko ndiko akina Dr Manyuki wanapata heshima na wateja wengi.

sayansi ya kiafrika ;jamani tujivunie

Tukifanya tafiti za kutosha katika nyanja kama hizi, tatizo la kuvunjika kwa familia laweza kutatuliwa.
Serikali za kiafrika zikiwekeza katika 'wataalam' hawa wa asili tunaweza kuondokana na vyombo vya kipolisi vyenye mwelekeo wa kimagharibi vinavyoshindwa kuwarudishia watu mali zao mara tu wanapoibiwa.

SAYANSI NA TEKNOLOGIA YA KIAFRIKA


UTITIRI WA SHULE DAR ES SALAAM


Thursday, November 26, 2009


Got this image when I visited T-MARC yesterday.
Dumisha mila ile wengine kwishashindwa!!! ( lyrics by a Tanzanian singer, Ebbo)
By the way should we copy everything from a white man? The gentleman is a receptionist at a big organisation in Dar Es Salaam. He is fluent in english and above all drives a good car.
Emancipate yourself from mental slavery, non but ourselves can free our minds ( lyrics by Bob Marley)
Every society copies something from other societies. Not everything in Europe is entirely eurocentric. But for us, we copy and paste from aeroplane to a bulb.
Hang on! we're not coping! but we're literally using other people's technologies. Chinese copies from the west, imitate and then manufacture for our consumption.

Wednesday, November 25, 2009

TASWIRA ZA FIESTA 2009

wadau pateni taswira za tamasha la fiesta 2009 lililofanyika pale viwanja vya iliyokuwa chuo cha posta na simu eneo la sayansi, Kijitonyama, Dar Es Salaam.

Fiesta ni tamasha la muziki linalokutanisha wasanii kutoka Tanzania, na hapo tuliburudika vya kutosha. Tamasha hili linaloandaliwa na primetime promotion kampuni dada ya radio clouds fm hufanyika karibu kila mkoa wa Tanzania. Mwisho wa juma lilopita ilikuwa ni zamu ya Dar Es Saalaam. Katika kutia kachumbari pilipili , gwiji la muziki Busta Rymes kutoka Marekani alikamua mpaka majogoo.

pole!!!!!!

lakini umejisitiri kiaina!!!!!!

dogo umefaidi!!!!!!!!!!

dogo una pesa ya thupu?????????

Mmmh!, baada ya fiesta!

This is fiesta aftermath, coincidentally it the same area his 'father' gained education. Chuo cha posta na Simu.

Tuesday, November 24, 2009


Once upon a time, this complex used to train technicians for our public company, known as Tanzania Telecommunication Company.

What is the best way of turning this white elephant project into more useful way? Turn it into a FIESTA BONANZA, as witnessed by our youngsters booze above.

CHUO CHA POSTA NA SIMU


Once the bedroom of a student. Now, mmmmmmmmh!

CHUO CHA POSTA NA SIMU



Monday, November 23, 2009

OUR CULTURAL HERITAGE

This outdoor shop is found outside Steers joint in the Central Business Disrict of Dar Es Salaam, Tanzania. Just opposite Tanesco headquaters.



Come on folks, Its 11.00am this gentleman is playing pool. Who says that africans are poor? A man in his right mind is supposed to be working at this time.

NBC sponsored garden at the centre of our Dar Es Salaam City. I think the goverment should apply fiscal policies such as tax cuts to companies that preserve our enviroment.


Dar Es Salaam at its best! I love this garden, big up NATIONAL BANK OF COMMERCE, the bank that takes care of this beautiful garden!!!, right at the Central Business District, close to Indian Ocean.

Friday, November 13, 2009

Africa needs USD93bn per year for Infrastructure- Report

Johannesburg

Sub-Saharan Africa needs to double its infrastructure spending to $93 billion a year, 15 per cent of regional output, to drag its road, water, and power networks into the 21st century, a report said yesterday.

The research compiled by the Infrastructure Consortium for Africa ( ICA) identified the continent's woeful electricity grids as its most pressing challenge, with 30 countries facing regular blackout and high premiums for emergency power.

Despite the gulf between its target figure and the $45 billion spent now, the report said goverments could narrow the funding gap to $31 billion by making $17 billion in relatively simple efficiency gains, such as making electricity users pay their bills.

The report said that infrastructure improvements to date, mainly in telecoms, had accounted for more than half of the pacy growth rates of recent years on the poorest continent. Analysts and policymakers have tended to regard high commodity prices, debt relief and improved governance as drivers of the 5 per cent average annual growth experienced from 2003 to 2008.

But frequently blackouts and poor roads still cause headaches and unnecessary costs for business and trade, the report said.

If all sub-Saharan Africa's 48 countries caught up with Mauritius, the Indian Ocean island that leads the region in infrastructure terms, overall growth would rise by 2.2 percentage points, it added.

'In most African countries, particularly the lower-income countries, infrastructure emerges as a major constraint on doing business, depressing firm productivity by about 40 percent.''

In the power sector, Sub-Saharan Africa needs to build 7,000 megawatts of capacity a year to meet the demand of the region's 800 million people, who currently have access to the same amount of power as Spain, with a population of just 45 million.

'Power consumption, at 124 kilowatt-hours per capita annually and falling, is only 10 percent of that found elsewhere in the developing world, barely enough to power one 100-watt lightbulb per person for 3 hours a day', the report said.

In other comparisons highlighting the extent of the problems, the report said the region had less than a quarter of the paved roads found in other parts of the developing world- but three-quarters of the numbers of mobile phones.

Poor economies of scale, or lack of competition in many countries meant Africa's services costs were 'exceptionally high by global standards'.

'Whether for power, water, road, freight, mobile telephones, or internet services, the tarrifs paid in Africa are several multiples of those paid in other parts of the developed world'.

For instance, moving a tonne of goods one kilometre in Africa costs between 4 and 14 U.S cents compared to between 1 and 4 cents in other developing regions, the report said.

Africa taxpayers are funding two-thirds of the current spending, with the rest coming from outside sources, such as private investors or overseas aid. Private investment was highest in technology and telecoms, the report said.

The ICA was launched at a G8 summit in Scotland in 2005 and its members include, among others, the G8, World Bank, African Development Bank and European Commission.

The full report, 'Africa's Infrastructure: A Time for Transformation'. can be found at
www.icafrica.org.

Source: The Guardian( Tanzanian Daily)

Thursday, November 12, 2009

ACCIDENTS IN TANZANIA


I narrowly escaped this accident yesterday afternoon. Fuso truck emerging from Wazo Hill on the outskirt of Dar Es Salaam,nicknamed 'Wazee wa kifusi' with failed brakes missed a daladala I was boarded and ended up hitting this shop.

Luckly no one was injured, as a poor soul selling building materials on this shop ran on time and saved his life. As for me, and other passengers we cruised towards town centre, as if nothing had happened.

This morning I took these photographs only to find that a reckless driver went away with no charges. Eye witnesse confided to me that as long as no one was killed there was no point of taking the 'stupid' driver to the eyes of the law. ( Typical african justice)

But hang on, the witness said that had the driver claimed lives, angry folks would have killed him on the spot. ( typical african justice)

Why should authorities at our midst accept trucks to be driven with failed brakes? Does this mean SUMATRA( Surface and Marine Transport Regulatory Authority) has no teeth? Is the police force incapacitated? Of course courts awaits for the plaintiff to place charges, but those guys did not see a point of taking the driver to the police. And again a traffic warden was at the site, he was cheaply bribed and driver went away.

It was Ali Mazrui ( The Africans) who wrote that Africa has abundant lives and speedy death. Perhaps we're too many to appreciate the value of life. And probably we die too many that death is now very much appreciated. We have a say in swahili , 'siku yako ikifika, imefika', This is an improper sentence in 21st century where the mighty will be soon inhabiting the space.

Wednesday, November 11, 2009

MEET A SWAHILI TEACHER

Swahili is the fastest growing language in the World spoken by 100 million people in East and Central Africa. The language is undoutedly the most african spoken dialectic in the whole continent.

As a visitor/ tourist/ academician/ or a would be resident, you'll certainly need an expert on this flamboyant language. Here is the tip:

Geraidine Robert is a well placed teacher not only of the swahili language but also of the east african culture.

Her contact is:

Geraidine Robert
P.oBox 4795
Dar Es Salaam

Tel no. +255 713717944

email ginaswahili@gmail.com

KARIBU AFRIKA.

NABAKI AFRIKA, is a company that deals with selling professional building materials of highest quality next to none. The company is based at mikocheni area, Dar Es Salaam, Tanzania.
Have a look on the swimming pools designed and delivered by these guys.
With NABAKI you will definitely forget the Ubiquitous chinese counterfakes as most of their products originates from NewZealand.
For up to the minute info please call
+255 784622254

NABAKI AFRIKA


Sunday, November 8, 2009

TAMBAZA SEKONDARI



jamani hata kupiga rangi yashindikana?

Tambaza Sekondari


Moja wapo ya darasa la shule kongwe iliyotamba sana miaka ya 1970 80' na mwanzoni ya 90'. Ni kielelezo wazi cha jinsi ambavyo serikali imekubaliana na sera za kigaidi za magharibi, structural adjustment programmes. Baada ya nchi za kiafrika kuzidiwa na madeni ya nchi za magharibi, na baada ya wapambe wetu, wa mashariki ( USSR) kuishiwa nguvu ya kifedha, sasa tulilazimishwa kuachana na uwekezaji katika sekta muhimu za maendeleo, elimu ikiwemo.
Nani anajali? Tambaza ya leo imekuwa ya walalahoi, siye twapeleka watoto wetu shule za binafsi. Iko wapi sera ya elimu ya kitaifa?
Miaka hiyo sie tulipokuwa tunamaliza shule ya msingi, Tambaza sekondari ilikuwa ni ndoto ya kila mtoto aliyekuwa LY ( last year). Tambaza, Azania, Forodhani, jangwani, na Zanaki zilikuwa ni shule zilizokuwa ni uchaguzi wa wanafunzi wengi. Hatukuwa na utitiri wa shule za 'academies' kama tulizonazo sasa. Kwa siye tuliyefeli ( hatukuchaguliwa) ilituuma sana kwa kutochaguliwa kwenda Tambaza au Azania. Miaka hii mwanangu anapochaguliwa kwenda Tambaza nakataa kumpeleka huko, na kumtafutia shule za binafsi kama vile Alfa High School, St Mary's, nk. Kinachasikitisha hata wale 'vigogo' hawawapeleki watoto wao Tambaza.
Inapofikia mahala hatuna sera iliyonyooka ya elimu, kila mtu anachukua chake mapema. Tunapiga kelele kila kuhusu vita ya ufisadi, tunasahau kwamba tunajaribu kutibia ugonjwa badala ya kutibia chanzo cha ugonjwa. Hakuna mwafrika hasiyependa maisha mazuri kwa watoto wake, tunapenda watoto wasome pazuri, wale chakula kizuri, waishi nyumba nzuri, na wawe na uhakika wa maisha ya baadaye. Ni pale serikali inaposhindwa kutoa maisha bora ndipo hapo rushwa ndogo ndogo ( kwa wale walio chini) na kubwa kubwa ( kwa wale viongozi) inaposhamiri.

Tuesday, November 3, 2009

MIAKA 40 YA MTANDAO;HAPA AFRIKA NGOMA YA KIZUNGU YACHEZEKA KWA TAABU!


Afrika ina makabila mengi yenye tofauti kubwa ya kimtazamo, kimila na desturi. Hata tunapocheza ngoma wandebere wa Afrika kusini uchezaji wake ni tofauti na wagogo wa Dodoma, Tanzania.Kila kabila ina mila na desturi zake zilizotokana na historia na mapokeo ya kabila husika. Ni vigumu sana kwa mpemba kucheza ngoma ya kimasai na hii inatokana na sababu nyingi za kihistoria, kistaarabu na mapokeo ya makabila hayo mawili ambayo yanatofautiana sana. Wamasai hucheza kwa kurukaruka juu huku mashuka yao yakiachia wazi sehemu zao za utupu. Wapemba ambao wanamapokeo ya ustaarabu wa kiislamu kuonyesha utupu wao ni kinyume cha dini yao.

Miaka 40 iliyopita, (1969) saa tatu usiku ya tarehe 29th October, wahandisi wa kimarekani waliochanishwa kwa umbali wa miles 400 kati ya Chuo Kikuu cha Los Angeles ( UCLA) na Taasisi ya Utafiti ya Stanford ( SRI) walijiandaa kutumiana data kati yao. Lilikuwa ni jambo ambalo leo hii tunaliona la kawaida sana, lakini 1969 lilishangaza wengi. Mhandisi mmoja wa Stanford alichapa herufi 'L' na kumpigia simu mwenzake wa Los Angeles kama alipokea herufi hiyo, mwenzake alisema kuwa herufi hiyo ilimfikia. Baada ya hapo, kilichofuata ni historia, mtandao ulipokolewa rasmi na wanadamu.

Marekani ya 1969 ilikuwa ni nchi iliyokwisha tandaza mawasiliano ya simu nchi nzima na hivyo kuwa rahisi kwa mtandao wa internet kusambaa kuanzia pwani ya mashariki( Chicago) mpaka pwani ya magharibi ( california). Tofauti na Marekani, nchi nyingi za Bara la Afrika kusini mwa jangwa la Sahara zimeingia karne ya 21 zikiwa hazina mawasiliano ya uhakika ya simu za mezani( Landline). Katika ile hali ya kupigana na ukweli halisia, baadhi ya nchi za kiafrika zinajikongoja na kuchukua hatua za kurekebisha mambo. Nchini Uganda, serikali ilichukua hatua ya kusambaza teknologia ya mawasiliano ya mtandao nchi nzima hasa vijijini ambapo kampuni za za binafsi zilishindwa kuwekeza huko kutokana na kushindwa kung'amua faida. East African ( gazeti la kila wiki la ukanda wa Afrika mashariki) linaripoti kwamba Uganda Communication Council ( UCC) ilichukua jukumu la kufikisha teknologia ya mawasiliano ya mtandao kwenye wilaya na vijiji katika juhudi za kujaza uwazi wa 'digital divide' kati ya mijini na vijijini. Bado mkakati huo umeshindwa kwani council iliyaachia uongozi wa wilaya hizo gharama za kuendesha miradi hiyo bila serikali kuwekeza kwa kina. Vile vile viongozi wa wilaya wamekuwa wakilalamika kwamba tatizo la umeme vijijini limekuwa kikwazo cha utekelezaji wa zoezi hilo.



Ili internet iweze kufanya kazi umeme ni suala lingine linalotatiza nchi nyingi za kiafrika. Tuchukulie mfano, Tanzania, ambayo hivi karibuni imekuwa katika tatizo la mgao wa umeme. Hii ina maana kwamba computer zetu haziwezi kufanya kazi panapokosekana umeme. Ingawa wadau wamekuwa wakitandaza generators kama suluhisho mbadala, bado umeme ni tatizo linatuweka waafrika nje ya ngoma ya kizungu ya mtandao. Hata hapo Tanzania inapokuwa haina mgao wa umeme, bado usambazaji wa ugavi huu haujafika nchi nzima, ni asilimia 11% tu familia za Tanzania zina umeme ikilinganishwa na 100% ya Marekani.



Elimu je,? bado rasilimali watu yahitaji kupigwa msasa wa uhakika kama kweli tunataka kukumbatiwa na dunia ya mtandao. Elimu nzuri na ya kisasa ni chachu ya maendeleo ya teknologia na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Nina mdogo wangu aliyepo kidato cha tano ambaye hajawahi kuwasha computer. Vyombo vya habari vya Tanzania hivi karibuni vili ripoti kuwepo kwa mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Arusha hasiyejua kusoma na kuandika. Ikumbukwe kwamba matumizi ya komputa hayawezekani bila kujua kusoma na kuandika!!


Miaka 40 iliyopita, miundombinu ya Marekani ilikuwa tofauti sana na miundombinu ya Tanzania. Amerika ina ukubwa wa 9,161,923 sq km, ambayo ni karibu ya mara kumi ya Tanzania yenye ukubwa wa 945087 sq km, lakini Amerika ya 1969 ilikuwa imeunganishwa na miundombinu yenye uhakika, yaani barabara, miundombinu hii ni muhimu sana katika ufanisi wa uchezaji wa ngoma ya mtandao.

Hii ina maana kwamba Amerika ya 1969 ilikuwa imejiandaa kupokea teknologia ya mtandao kwa mapana kabisa. Leo hii hapa Tanzania msafiri anayetoka Dar es Salaam kwa usafiri wa basi kuelekea mkoani Kagera anapoteza masaa 30, wakati usafiri wa ndege kutoka hapa kuelekea London ni masaa 9. Inachukua masaa matatu kutoka Tegeta ( nje kidogo ya Dar Es Salaam) kuelekea kati kati ya mji, umbali wa kilomita 28, wakati ni masaa 4 kuendesha gari kutoka Reading town ( Uingereza) kuelekea Leeds, umbali wa kilomita 265!!

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, ' wakati wenzetu wanakwenda mwezini, siye bado hatujafika kijijini'.

Faida mojawapo ya internet ni kuwezesha manunuzi ya bidhaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine. E-commerce ni mbinu ya kibiashara inayotamba katika karne hii ya 21 na huko Ulaya na Amerika vitu vinanunuliwa kupitia tovuti maarufu kama vile ebay, amazon, Japanesevehicles, n.k.Matumizi ya e-commerce kwa wakazi wengi wa Afrika itaendelea kuwa ndoto kwani barabara zetu ni mbovu sana hivyo uharaka wa internet unaonekana hauna maana.E-commerce imeharakisha biashara ya wenzetu waliondelea kwa kiwango kikubwa hivyo kuwaongezea faida. Barabara za Afrika, ni mbovu zilizo na muonekano wa maandaki na hivyo kuchelewesha usafirishaji wa bidhaa. Nchini Uganda kuna utani kwamba ukimuona dereva anaendesha katika mstari ulionyooka basi huyo ni mlevi.

Hata hivyo baadhi ya nchi za kiafrika zinajitaidi kuwafikishia wananchi wake walioko vijijini teknologia ya mawasiliano kwa kutumia njia nyingine mbadala katika ile hali ya kuyashinda mapungufu ya miundombinu finyu. Hivi karibuni Rwanda imeanzisha utaratatibu wa e-bus ambapo mabasi mawili yenye vifaa vya kisasa vya mtandao yamekuwa yakizunguka sehemu za vijijini. Mabasi hayo yana laptops zilizounganishwa na mtandao, printers, na scanners, na vile vile yana generators hivyo kufanikiwa kufanya kazi hata katika yale maeneo yasiyo na nishati ya umeme. Watunga sera wa kinywarwanda wanaamini kwamba e-bus itawezesha wakulima wadogo wadogo kujua bei za mazao, kujifunza kilimo cha kisasa, kutambua hali ya hewa katika muda muafaka, na hivyo kuunganishwa kiukweli na soko la Dunia. Inaaminika vile vile kwamba wanafunzi waliopo vijijini wataweza kujifunza kwa vitendo teknologia hii muhimu ya mawasiliano hivyo kufanikiwa kuziba pengo la 'digital divide' kati ya wakazi wa vijijini na mijini.

Kwa ujumla, ingawa nchi za kiafrika zimekuwa zikipanga mipango ya zima moto! na kujaribu kukimbia na kasi ya mawasiliano, bado inatubidi tuwekeze kwa mapana katika miundombinu ya msingi, yaani barabara, simu, umeme, na elimu ya kisasa. Serikali za kiafrika haziwezi kuwaachia wawekezaji binafsi jukumu lake muhimu la kuendesha nchi zao, hasa katika suala la uwezekaji kwa wananchi wake. Mwalimu nyerere aliwahi kusema kwamba hana matatizo na sera za kibepari, bali akasema anataka manahodha wa kibepari, siyo mabepari uchwara. Hivi karibuni kumekuwa na kelele nyingi za mitandao inayokwenda kwa kasi sana, mitandao ambayo zimefaidisha wakazi wachache wateule ( elites) wa mijini badala ya kusambaa nchi nzima.

Mungu ibariki Afrika.

Saturday, October 31, 2009

QUOTE OF THE WEEK

An empty stomach is not a good political advisor!!!

Source 'The Guardian' ( Tanzanian daily)

ZA MWIZI AROBAINI, HAPANA ZA MWONGO.....

Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya sana porini,na baada ya ajali hiyo alitokea mkulima mmoja na alipoona hivyo alichimba shimo kubwa na kuwazika wote kwa pamoja.Baadaye polisi walikuja eneo la tukio na kumkuta huyo mkulima na kuanza kumhoji kuhusiana na ajali hiyo.

Mahojiano yalikuwa hivi:-

Polisi :-

Uliona ajali jinsi ilivyotokea?

Mkulima :-

Hapana, nilikuta imeshatokea na maiti zimezagaa..

Polisi :- Zipo wapi maiti?

Mkulima :- Nimezizika

Polisi :- Una uhakika wote walikua wamekufa?

Mkulima :- Kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini si unajua wanasiasa walivyo waongo!!!mi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote....

Tuesday, October 27, 2009

FAITH APATA KOMUNIO YA KWANZA




Baada ya mafundisho ya mwaka mmoja, Faith Nyamwocha afurahia matunda ya somo la kikristu pamoja na familia yake. Waliopitishwa kupata sakramenti hiyo ni 6 kati ya watoto 30. Wengine 24 walishindwa kudhibitisha kuwa walishapata ubatizo. Kwa wakristu huwezi kupewa komunio ya kwanza kabla ya kubatizwa. Natamani 'discpline' hii ingekuwepo katika taasisi za serikali ya Tanzania.

Sunday, October 25, 2009

KURA YA NINI? SERIKALI NI MFU!!!

Jumapili iliyopita watanzania kote nchini walitarajiwa kupiga kura kuwachagua viongozi wa serikali za mitaa katika ile hali ya kutimiza haki zetu za kimsingi za kikatiba, yaani kuchaguliwa ama kuchagua viongozi tunaotarajia watatuletea maendeleo katika vitongoji vyetu.

Kwa mujibu wa Waziri wa nchi anayeshughulikia serikali za mitaa, Mheshimiwa Celina Kombani namba ya waliojiandikisha kupiga kura nchi nzima ni sawa na 53% ya watu millioni 16.1 ambao serikali ilikadiria wangejiandikisha kupiga kura.

Uchaguzi umeisha salama na umefanyika katika vituo 66,136 vilivyoko katika vijiji 11,197 na mitaa 2,606 katika halmashauri 132 nchini, ambapo viongozi 279,925 wamechaguliwa katika ngazi ya vijiji na vitongoji, na 15,636 katika ngazi ya mitaa.

Chama Cha Mapinduzi, CCM kimeibuka na ushindi mkubwa ambapo kwa mkoa wa Dar Es Salaam wajumbe 34 walipita bila kupingwa ambapo mkoani mbeya wajumbe 4000 wa CCM kati ya 5,592 vile vile nao wamepita bila kupingwa.

Licha ya haya yote mimi mkazi wa Tegeta, Dar Es Salaam sikupiga kura, wala sikujua sehemu iliyokuwepo kituo cha kupigia kura.



Sababu ni nyingi lakini zaidi ni ule ukosefu wa mwamko wa kisiasa siyo tu kwa mimi kama mtanzania bali pia kwa watanzania wenzangu ambao niliwaona wakiendelea na maisha yao ya kila siku pale mtaani kwangu. Kuna waliokuwa kwenye maduka yao ingawa hii ilikuwa ni siku ya kumwabudu Mungu kwa walio wakristu, kuna niliowaona wakibeba ndoo za maji kichwani wakiangaika kutafuta maji, kwa wale wakulima niliwaona wakimwagilia michicha yao,na waangaikaji wengine niliwaona wakisukuma mikokoteni. Jirani yangu aliendelea kusimamia mafundi wanaomjengea nyumba yake. Kwa kifupi wengi hatukustuka na uchaguzi huu.



Waziri Kombani alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari siku mbili kabla ya uchaguzi alikiri kuwepo na idadi ndogo ya watanzania waliojindikisha kupiga kura. Alisema kuwa wengi waliojindikisha ni wananchi wa vijijini ambapo 30% walijiandikisha ambapo maeneo ya mijini namba ilikuwa ya chini zaidi. Akaainisha kuwa sababu mojawapo ya idadi ndogo ya wapiga kura maeneo ya mijini ni uelewa mdogo ( ignorance) wa watu wanaofikiri kuwa uchaguzi hauna manufaa kwao. Vile vile Radio ya binafsi yenye makao yake makuu jijini Dar Es Salaam, Clouds Fm ilitoa takwimu ya watu 500,000 waliopiga kura katika jiji la Dar Es Salaam kati ya wakazi wa jijini.

Lakini mie naona ni ukweli kuwa uchaguzi hauna maana hasa kwa mtu wa kawaida kwani hakuna kitu anachoweza kujivunia kuwa ni kazi ya viongozi aliyewachagua katika uchaguzi uliopita. Wananchi hawategemei barabara zijengwe na viongozi wao hapa mitaani mwetu, wala hatutegemei kujengewa kituo cha polisi karibu na makazi yetu bila kuweka nguvu zetu wenyewe, wala hatuwaambii wajumbe wa mitaa yetu wakusanye takataka kwa niaba yetu. La hasha! wananchi kwenye vitongoji wanakosa viongozi wa kuwahamasisha, wanakosa viongozi wa kuwaongoza, viongozi watakaoonyesha njia ya kuelekea kwenye maendeleo ya kweli. Tunaliliona kwenye mitaa na vitongoji vyetu ni viongozi bubu, wasiotoa maelezo yenye tija; na tunapofika hapo nchi inakuwa inaingia kwenye mashaka sana. Viongozi wanadharaurika na kila mtu anachukua uamuzi kwendana na mazingira yake.

Katika nchi yenye mtazamo makini, wananchi wanatarajiwa kuilinda na kuitetea katiba yao, na upigaji kura ni njia sahihi ya kutimiza adhima hii. Mwalimu Nyerere ( Nyerere 1995) aliwahi kuandika kuwa wakati wote wananchi wanaweza kuitetea katiba kama wanajua wakati wote wawakilishi wao wanafanya nini kwa niaba yao. Kama hawaambiwi ukweli kinachotokea ndani ya nchi yao wananchi hawa watawezaje kuitetea katiba?



Hapa kwangu Tegeta na sehemu nyingi za Dar Es Salaam ni kila mtu na lwake! mtu anachoweza kufanya yeye kama mtu binafsi anakifanya bila kushirikishwa au kuhamasishwa na kiongozi wake wa mtaa. Ninapoamua kujenga ukuta kwenye nyumba yangu hii inamaana ninajiwekea kizuizi na jumuiya inayonizunguka. Ninapoweka simtank la maji ya ziada ina maana sitarajii na wala sitalalamika pale DAWASCO watakaposhindwa kunipatia huduma ya maji. Ninaponunua LandCruiser, na kulipitisha kwenye barabara mbovu iliyojaa mashimo mfano wa mahandaki ina maana sitarajii mwenyekiti wa serikali za mitaa kuitisha mkutano wa wananchi kujadili njia mbadala ya kuweka vifusi kwenye barabara za vitongoji vyetu. Wazungu wanasema 'Its a private solution for the public problem'

Fanon(1963, p. 119) analielezea tabaka la wasomi ambalo baadhi yao linajiingiza kwenye siasa kama ifuatavyo;

Inaonekana kwamba tabaka la wasomi halijajiandaa, wala halina uhusiano au ukaribu wa kimatendo ( practical) na umati wa watu, ule uvivu wa hili tabaka la wasomi, na uwoga wao katika muda muafaka wanapotarijiwa kutimiza majukumu yao ya kimapigano huleta hasara kubwa kwa jamii.

Hata baada ya miaka zaidi ya 40 tangia tupate uhuru, mapigano ya sasa siyo yale ya kumuondoa mkoloni, bali vita ya sasa ni kuuondoa ukoloni mamboleo unaokuja kwa sura ya utandawazi ( globarization). Lakini kama vile anavyoanisha Issa Shivji (2007) viongozi wanaoshika madaraka nchini kwetu wanaimba wimbo wa ukoloni mamboleo badala ya kuupinga wakiwa bega kwa bega na wapiga kura wao.

Kiongozi wa mtaa ninaemtaka mimi ni yule atakayetambua kuwa mipango ya ukoloni mamboleo ndiyo iliyosababisha bei zetu za mazao vijijini kushuka bei mno hivyo kulileta kundi kubwa la vijana mjini. Ni kiongozi atakayekuja na mipango endelevu ya kulipa ajira jeshi hili la vijana ndio atakayenifanya nipige kura ya kumchagua.

Kiongozi ninayemtaka mimi ni yule atakayetambua kuwa elimu inayotolewa na serikali ni afifu mno hivyo kuja na mipango inayowashirikisha wananchi wa mtaani ambao wote wanapenda watoto wao kusoma shule katika mipango ya kujenga maktaba, au shule ya kisasa.

Serikali yetu imekufa! a stateless society!!! No police, no healthcare, no fire brigade, no proper public schooling, no adequate water supply, infrequent power supply, and above all no effective leadership.



Mungu Ibariki Tanzania.

Saturday, October 24, 2009

Fatiki ya Rwanda

Chanzo cha BBC swahili service kinatutaarifu kuwa nchini Rwanda, serikali ya Mjeshi Kagame imeamua kufanya tathmini kwa wafanyakazi wake wa serikali kila mwezi, ambapo alama kama zile za shule zitakuwa zinatolewa kwa watumishi wa Umma.

Chanzo hicho kinatutaarifu kuwa mtumishi wa umma atakayepata alama kati ya 70-100% ataendelea na kazi na ikiwezekana atapandishwa cheo. Alama 50-69% atasimamishwa kazi na kupewa nafasi ya kutuma maombi ya ajira upya, ambapo yule atakayepata chini ya alama 50% anafukuzwa kazi.

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wa umma kuwa wale viongozi wa vitengo vya serikali ambao ndio wanaotoa hizo alama wanaweza kuwa na visasi na waajiriwa hivyo kutoa maamuzi ya upendeleo, ( Victimization).

Wewe hii unaionaje?

Watumishi wa serikali ya Tanzania wamekuwa na tabia ya uzembe, ubadhirifu, ulaji wa rushwa na kwa ujumla kuwajibika kumekuwa kwa mashaka sana. Nakumbuka miaka ya 1990's Rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi aliwahi kutangaza upitishwaji wa Fagio la chuma kwa watumishi wazembe. Vile vile miaka hiyo hiyo aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Ndani, mpiganaji Augustino Lyatunga Mrema alianzisha tabia ya kuvamia ofisi za serikali na kuondosha viti vya mtendaji aliyekuwa hayupo kazini.

Licha ya juhudi hizi za zima moto? bado watumishi wa serikali wamekuwa wakifanya kazi kimazoea, kusuasua na kivivu.

Tanzania, tufanye nini?

Friday, October 16, 2009

SIKU YA UMASKINI DUNIANI

NI UMASKINI WA MAWAZO SIYO HALISIA


Leo Dunia inatubeza siye wa nchi 'maskini' kwamba ni sikukuhuu yetu! Inaitwa siku ya umaskini Duniani. Kiukweli siye wa nchi za ulimwengu wa tatu siyo maskini bali umaskini wetu ni wa mawazo tu. Viazi vitamu vinakubaliana na hali ya joto hivyo kwa akili ya kawaida vingetakuwa viwe vinatawala kwenye meza zetu kama sehemu ya kifungua kinywa. Ila kwa sababu tunapenda sana kuiga chakula wanachokula wale waliotutawala basi tunaona vyetu ni vya kishenzi. Watawala walipokuja na mkate na siagi tukaona viazi vyetu havina mpango. Wahaya wanaita viazi vikuu, ebitakuli, maana yake ni Hivi weka pembeni. Kuna stori kwamba muhaya mmoja alipowekewa vyakula vingi mezani alichagua vyakula vingine na kuachana na viazi vikuu.

Leo hii husipokula mkate na siagi unaonekana umeishiwa na watoto wa mjini wanasema 'umefulia'. Kinachosikitisha zaidi ni kwamba baadhi ya vitafunwa vinaagizwa kutoka nje ya nchi hivyo tunapoteza pesa zetu za kigeni. Weetabix inatoka Uingereza na siku za baadaye itachukua nafasi ya mkate.

Msomi ninayependa kusoma kazi zake Ali Mazrui katika kitabu kinachoitwa 'The Africans' aliandika, ninamnukuu katika lugha ya kiswahili.


Katika kipindi cha kizazi kimoja kilichopita tumeshuhudia kasi kubwa ya waafrika kuiga mila za kigeni na ufuatiliaje wa maisha ya ughaibuni. Kama wayahudi waliokimbilia nje ya nchi yao wangediriki kubadilisha ustaarabu wao kwa haraka kama waafrika wanavyofanya ndani ya nchi zao, maajabu ya utambulisho wa kiyahudi yasingedumu katika millennia mbili au tatu walizokaa mbali na nchi yao. Hata sasa waafrika wengi wanaonekana kubadilika kwa kasi kubwa kiutamaduni katika kizazi kimoja zaidi ya wayahudi walivyobadilika ndani ya miaka 1000 nje ya nchi yao.

Mchele unaliwa dunia nzima, lakini muhogo ni wakwetu, wakwetu asilia. Zao la muhogo linaweza kuchemshwa, kuchomwa, kubanikwa, kukaangwa, na kupikwa kama chakula cha mchana. Vile vile muhogo unaweza kukobolewa na kupatikana unga mtamu wa ugali, tunaweza vile vile kunywa uji wa muhogo na hivyo kuachana na weetabix. Majani ya muhogo maarufu kama kisamvu ni chakula kinachodharauriwa na watanzania hasa wa mjini eti ni mlo wa kimasikini.

Hivi karibuni Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda alituasa watanzania tuache kuwa na kasumba ya kupenda mchele na unga na kuacha mazao yanaostahimili ukame kama mihogo. Tumekariri kuwa mchele na unga kuwa ni vyakula vikuu na hata wakati mwingine ukame unavyokamata tunaagiza nafaka hizi kutoka nje ya nchi na kutumia pesa chache za kigeni tulizonazo. Inasikitisha tunapoona wachaga hawali mihogo kwa ujinga tu kwamba zao hilo ni sumu. Ni ujinga vile vile kuwaona wahaya wanakufa njaa eti kwa kuwa ndizi zimeingiwa na wadudu. Inauma kuona wahaya wanakosa pesa ya kujikimu eti kwa kuwa kahawa imekosa soko duniani. Kwanini wahaya wasilime mihogo na kuwauzia wakazi wa mijini wanaopoteza pesa kuagiza weetabix?

Waafrika tumekuwa watu wakusaidiwa kiuchumi na hata kimawazo, tuchukulie mfano wa tajiri mkubwa mmiliki wa Microsoft, Bill Gates aliyezindua hivi karibuni mpango wake wa kilimo endelevu kinachozingatia mazao ya nyumbani ili kunusuru Bara la Afrika na janga la njaa. Mpango huo utakaogharimu dollar million 120 unalenga kutuelimisha waafrika umuhimu wa kupanda mazao kama viazi vitamu ambavyo vinasifika kutokomeza mapungufu ya Vitamin C hasa kwa watoto.

Mawazo endelevu na yenye nuru ya Gates yanaungwa mkono na Dr Hartmann, Mkurugenzi wa shirika la kitafiti linalotafuta ufumbuzi wa njaa na umaskini wa kiafrika liitwalo IITA. Kwenye mahojiano na The Guardian, 17 of October, mtafiti huyu anatoa angalizo kwamba walaji wa kiafrika inabidi wasaidiwe kujifunza kubadilisha jinsi wanavyokula ili wasiwe wanategemea mazao machache. Anaanisha kwamba nchi zilizoadhirika zaidi na njaa ni zile zinazotegemea mchele, mahindi na ngano mazao ambayo ni maarufu katika soko la dunia. Wakati mazao hayo yamekuwa yakipanda bei siku za hivi karibuni, bei za mazao kama mihogo na viazi vikuu vimekua vikiwa na bei hisiyoteteleka.

Ripoti ya hivi karibuni iliyotolewa septemba 29 na Taasisi ya kimataifa inayojihusisha na utafiti wa sera za chakula IFPRI yenye makao yake Washington, Marekani inahasa kwamba ifikapo 2050, Afrika kusini mwa jangwa la Sahara itapungukiwa na mavuno ya mchele kwa 14%, ngano 22% na mahindi 5%. Mapungufu haya yatakayotokana na mabadiliko ya hali ya hewa yatazidisha hali ya utapiamlo hasa kwa watoto.

Thursday, October 15, 2009

NI WIKI YA KUJISOMEA

Nani kasema watanzania hatupendi kusoma? hapa ni asubuhi maeneo ya Mwenge kituoni. Kama walivyo mabosi, mtanzania wa kawaida anapenda kujua nini kinaendelea katika nchi yake. Survey hii nilivyoifanya mchana nilikuta 'newstands' zikiwa hazina watu wanaopiga 'chabo' kama ilivyo asubuhi. Pale mwenge nilizubaa kwa muda hiyo asubuhi na niliweza kushuhudia wapitia njia wakisoma gazeti bila kununua. Wazungu walisema, 'do not read a book by its cover'. Viongozi wetu wanaposiliana na wananchi kupitia vyombo vya habari hususani magazeti ujumbe wao hauwafikii walengwa kwa muda husika na hali hii inafanya wananchi wasiweze kujua kinachoendelea ndani ya nchi yao wenyewe.

Sababu kubwa inayofanya 'wadanganyika' kushindwa kusoma 'morning news' ni ukosefu wa kipato kwani kwa wastani bei ya gazeti ni 500/= wakati wananchi wengi tunaishi chini ya $1 kwa siku.

Ila kuna njia mbadala ya kuhakikisha kuwa siye wananchi tunapata habari kila siku na hivyo kujua viongozi wetu wanatuambia nini au wanafanya nini. Kwanini tusiwaige wazungu mambo ya maana badala ya kuiga vitu vya kipuuzi. Mfano nchini Uingereza halmashauri za miji zinachapisha na kusambaza magazeti kwa wakazi wa miji bure huku makampuni ya miji hiyo yakigharimia magazeti hayo kwa kutangaza matangazo. Kwa kufanya hivyo wananchi wanapata habari ya kinachoendelea katika miji yao na wakati huo huo halmashauri za miji zinapata faida na kuwa na pesa za kuendesha miji.

Tunapokaribia uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi wanatarijiwa kupiga kura huku wakiwa 'mbumbumbu' bila kujua mipango ya viongozi wao. Ama kweli wajinga ndio waliwao.

Tuesday, October 13, 2009

WAAFRIKA WA 'BLING BLING'



Waafrika tunapenda ufahari na inapofika siku ya mtu kuoa tunaonyesha ushamba wetu kwa asilimia 100% bila kujua tutakula nini kesho! harusi kama hii ni ya kawaida hapa kwetu.

Ni yale Maji!!!!

Vyanzo vya maji nchini kwetu Tanzania vinaeleweka vizuri tu. Wahandisi wapo! tatizo ni nini?

wakata miwa

Bado technologia yetu ni duni! hawa ni wakata miwa, ni zao linalohitajika kiwandani tayari kwa kutengeneza sukari. Kwa mwendo huu tunaweza kushindana na nchi zilizoendelea katika uzalishaji wa sukari?

Monday, October 12, 2009

TUCHANGIE KANISA KATOLIKI TEGETA

Ndugu zangu wapendwa! waumini wa hapa kitongoji changu cha Tegeta tunajenga kanisa kama linavyoonekana kwenye taswira hii. Tunaomba mtusaidie kuchangia kwa kushindania bahati nasibu lukuki ikiwemo zawadi ya Gari jipya la kijapan liitwalo Toyota Spacio. Bei ya tiketi moja ni sh. 2000/=. Tafadhali sana naomba tuwasiliane kwa namba +255 712378647 nikuuzie tiketi yako. Hima tujenge nyumba ya Bwana.

Kristu! Tumaini letu.

Meza yangu hapa Tegeta! hakuna ndizi za bukoba wala macharari ya moshi. Labda mikoa hii haipo Tanzania.Natamani matoke na mke wangu anatamani macharari.
Ubora uliotukuka! jambo moja lipo wazi, wachaga hawatumii ndizi kama zao la biashara. Wamekariri kahawa tu. Siyo mbali sana, hapa Dar tu, ndizi yenye afya kama hii
haipatikani. Shemeji zangu kaeni moshi mtulimie ndizi badala ya kubangaiza dar.

Karibu mgeni karibu sana! mdau Mbwana alikaribishwa hivi!