Wednesday, November 25, 2009

TASWIRA ZA FIESTA 2009

wadau pateni taswira za tamasha la fiesta 2009 lililofanyika pale viwanja vya iliyokuwa chuo cha posta na simu eneo la sayansi, Kijitonyama, Dar Es Salaam.

Fiesta ni tamasha la muziki linalokutanisha wasanii kutoka Tanzania, na hapo tuliburudika vya kutosha. Tamasha hili linaloandaliwa na primetime promotion kampuni dada ya radio clouds fm hufanyika karibu kila mkoa wa Tanzania. Mwisho wa juma lilopita ilikuwa ni zamu ya Dar Es Saalaam. Katika kutia kachumbari pilipili , gwiji la muziki Busta Rymes kutoka Marekani alikamua mpaka majogoo.

No comments:

Post a Comment