Sunday, November 29, 2009

sayansi ya kiafrika ;jamani tujivunie

Tukifanya tafiti za kutosha katika nyanja kama hizi, tatizo la kuvunjika kwa familia laweza kutatuliwa.
Serikali za kiafrika zikiwekeza katika 'wataalam' hawa wa asili tunaweza kuondokana na vyombo vya kipolisi vyenye mwelekeo wa kimagharibi vinavyoshindwa kuwarudishia watu mali zao mara tu wanapoibiwa.

No comments:

Post a Comment