Tuesday, October 27, 2009

FAITH APATA KOMUNIO YA KWANZA




Baada ya mafundisho ya mwaka mmoja, Faith Nyamwocha afurahia matunda ya somo la kikristu pamoja na familia yake. Waliopitishwa kupata sakramenti hiyo ni 6 kati ya watoto 30. Wengine 24 walishindwa kudhibitisha kuwa walishapata ubatizo. Kwa wakristu huwezi kupewa komunio ya kwanza kabla ya kubatizwa. Natamani 'discpline' hii ingekuwepo katika taasisi za serikali ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment