Monday, October 12, 2009

Mji wa Moshi! Ni msafi sana

umeshawahi kufika mjini Moshi, Tanzania? Nilisoma elimu ya sekondari nje kidogo ya Moshi miaka 1980's. Hapo ni roundabout ya KNCU. Mdau Kidato Mbwana ambaye ni mwenyeji wa Moshi, aliishi uingereza kwa takribani miaka 9. Juzi alirudi kwao Moshi, na mandhari ya usafi haliyoaacha wakati huo alikuta mambo mswano kama alivyoacha.

No comments:

Post a Comment