Monday, January 4, 2010

BURIANI SIMBA WA VITA

KAMBARAGE: Ah! Ngoja nipunge upepo hapa nje, mh! Nani yulee anakuja,kama ninamfahamu! Ah! siamini RASHIDI!

Waoooo!! SIMBA WA VITA!!! jamani vipi za huko!

Hajambo MKAPA?, KIKWETE amekua siku hizi? Eh! vipi chama changu?

RASHIDI; Ah! Niache nipumzike! nina mengi, huko hakuna Chama ni ufisadi TU! Hivi nimeacha skendo, Chama kimekwapua MABILIONI, Duh!! nikaona niishie zangu maanake ni kashfa!! nitakupa STORY zaidi, yaani JULIUS utalia!!!

No comments:

Post a Comment