Tuesday, September 29, 2009

kata mti, panda mti

Nishati yetu kwa ajili ya kupikia bado ni primitive, tunakata mti lakini hatupandi miti. Hapa ni nyumbani kwangu, kijijini kangantebe, wilaya ya Muleba, Mkoani Kagera. Hongera sana kwa bro. Albert huwa anapanda miti sana akija kijijini.

No comments:

Post a Comment